Mwanzo 29:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yehova alipoona kwamba Lea alichukiwa, ndipo akafungua tumbo lake la uzazi,+ lakini Raheli alikuwa tasa.+ 1 Samweli 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na yule mke mwenzake alimsumbua+ mno pia hata kumfadhaisha kwa sababu Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi. Zaburi 113:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anampa mwanamke tasa makao katika nyumba+Kama mama ya wana aliye na shangwe.+Msifuni Yah!+
31 Yehova alipoona kwamba Lea alichukiwa, ndipo akafungua tumbo lake la uzazi,+ lakini Raheli alikuwa tasa.+
6 Na yule mke mwenzake alimsumbua+ mno pia hata kumfadhaisha kwa sababu Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.