Mwanzo 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwishowe ikawa kwamba kundi lilipokuwa na hamu ya kupandana nikainua macho yangu nikaona maono katika ndoto+ na tazama, mbuzi-dume wanaopanda kundi walikuwa wenye mistari-mistari, wenye mabaka na madoa-doa.+
10 Mwishowe ikawa kwamba kundi lilipokuwa na hamu ya kupandana nikainua macho yangu nikaona maono katika ndoto+ na tazama, mbuzi-dume wanaopanda kundi walikuwa wenye mistari-mistari, wenye mabaka na madoa-doa.+