Mwanzo 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ndipo Labani akamwambia: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,—nimezifasiri zile ishara za bahati zinazoonyesha kwamba Yehova ananibariki kwa ajili yako.”+ 1 Samweli 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Sauli akawa akimtilia Daudi shaka tangu siku hiyo na kuendelea.+
27 Ndipo Labani akamwambia: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,—nimezifasiri zile ishara za bahati zinazoonyesha kwamba Yehova ananibariki kwa ajili yako.”+