Zaburi 52:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Kwa nini unajisifia yaliyo mabaya, ewe mwenye nguvu?+Fadhili zenye upendo za Mungu ni za mchana kutwa.+ Yohana 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa sababu hiyo Pilato akamwambia: “Je, husemi nami?+ Je, hujui nina mamlaka ya kukufungua na nina mamlaka ya kukutundika mtini?”
52 Kwa nini unajisifia yaliyo mabaya, ewe mwenye nguvu?+Fadhili zenye upendo za Mungu ni za mchana kutwa.+
10 Kwa sababu hiyo Pilato akamwambia: “Je, husemi nami?+ Je, hujui nina mamlaka ya kukufungua na nina mamlaka ya kukutundika mtini?”