Mwanzo 33:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha akajipatia sehemu ya shamba alipopiga hema lake kutoka kwa mkono wa wana wa Hamori baba ya Shekemu, kwa vipande mia moja vya pesa.+ Mwanzo 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Shekemu mwana wa Hamori Mhivi,+ mkuu wa nchi, akamwona, kisha akamchukua, akalala naye, akamnajisi.+
19 Kisha akajipatia sehemu ya shamba alipopiga hema lake kutoka kwa mkono wa wana wa Hamori baba ya Shekemu, kwa vipande mia moja vya pesa.+
2 Naye Shekemu mwana wa Hamori Mhivi,+ mkuu wa nchi, akamwona, kisha akamchukua, akalala naye, akamnajisi.+