3 Naye Israeli alimpenda Yosefu kuliko wanawe wengine wote,+ kwa sababu alikuwa mwana wa uzee wake; naye alikuwa amemshonea vazi refu lenye mistari linalofanana na shati.+
24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+