Mwanzo 39:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi bwana wa Yosefu akamchukua akamtia katika nyumba ya gereza, mahali ambapo wafungwa wa mfalme waliwekwa kizuizini, naye akaendelea kuwa humo katika nyumba ya gereza.+ Zaburi 105:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakaitesa miguu yake kwa pingu,+Nafsi yake ikaingia katika vyuma;+
20 Basi bwana wa Yosefu akamchukua akamtia katika nyumba ya gereza, mahali ambapo wafungwa wa mfalme waliwekwa kizuizini, naye akaendelea kuwa humo katika nyumba ya gereza.+