Mwanzo 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na mimea yote ya majani nimetoa iwe chakula+ kwa kila mnyama-mwitu wa dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kila kitu kinachotembea juu ya dunia ambacho ndani yake mna uhai ukiwa nafsi.” Ikawa hivyo. Mwanzo 41:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na tazama, ng’ombe saba wanono, wenye umbo zuri wakatoka ndani ya mto Nile, nao wakaanza kula majani ya mto Nile.+
30 Na mimea yote ya majani nimetoa iwe chakula+ kwa kila mnyama-mwitu wa dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kila kitu kinachotembea juu ya dunia ambacho ndani yake mna uhai ukiwa nafsi.” Ikawa hivyo.
18 Na tazama, ng’ombe saba wanono, wenye umbo zuri wakatoka ndani ya mto Nile, nao wakaanza kula majani ya mto Nile.+