Mwanzo 42:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tena akawaambia: “Tazama nimesikia kwamba kuna nafaka Misri.+ Shukeni huko mkatununulie nafaka, tupate kuendelea kuishi ili tusife.” Maombolezo 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wale waliouawa kwa upanga+ wamekuwa bora kuliko wale waliouawa kwa njaa,+Kwa sababu hao hudhoofika, wakichomwa kwa sababu ya ukosefu wa mazao ya shambani.
2 Tena akawaambia: “Tazama nimesikia kwamba kuna nafaka Misri.+ Shukeni huko mkatununulie nafaka, tupate kuendelea kuishi ili tusife.”
9 Wale waliouawa kwa upanga+ wamekuwa bora kuliko wale waliouawa kwa njaa,+Kwa sababu hao hudhoofika, wakichomwa kwa sababu ya ukosefu wa mazao ya shambani.