Waroma 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+ 2 Wakorintho 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana sisi “tunafanya mpango wa unyoofu, si machoni pa Yehova tu, bali pia machoni pa wanadamu.”+ Waebrania 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Endeleeni kusali+ kwa ajili yetu, kwa maana sisi tuna uhakika kwamba tuna dhamiri nyoofu, kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+
8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+
21 Kwa maana sisi “tunafanya mpango wa unyoofu, si machoni pa Yehova tu, bali pia machoni pa wanadamu.”+
18 Endeleeni kusali+ kwa ajili yetu, kwa maana sisi tuna uhakika kwamba tuna dhamiri nyoofu, kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+