27 Mmoja wao alipofungua gunia lake ili ampe punda wake chakula wakiwa mahali pa kukaa usiku,+ akaona pesa zake, na tazama, zilikuwa katika kinywa cha mfuko wake.+
7 Naye akamzaa mwana wake, mzaliwa wa kwanza,+ akamfunga vitambaa na kumlaza katika hori,+ kwa sababu hapakuwa na mahali kwa ajili yao katika chumba cha kukaa.