Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 43:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini ikatukia kwamba tulipofika mahali pa kulala+ na kuanza kufungua mifuko yetu, kumbe, pesa za kila mmoja wetu zilikuwa katika kinywa cha mfuko wake, pesa zetu zikiwa na uzani wake kamili. Kwa hiyo tungependa kuzirudisha kwa mikono yetu wenyewe.+

  • Methali 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwadilifu anatunza nafsi ya mnyama wake wa kufugwa,+ lakini rehema za waovu ni ukatili.+

  • Yeremia 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Laiti ningekuwa na mahali pa kukaa wasafiri+ katika nyika! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao, kwa maana wote ni wazinzi,+ kusanyiko kuu la wanaofanya hila;+

  • Yeremia 41:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi wakaenda na kuanza kufanya makao katika mahali pa kukaa pa Kimhamu palipokuwa kando ya Bethlehemu,+ ili wazidi kwenda na kuingia Misri,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki