Mwanzo 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+ Waamuzi 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi palikuwa na kijana wa Bethlehemu+ katika Yuda wa familia ya Yuda, naye alikuwa Mlawi.+ Alikuwa anakaa hapo kwa muda. 1 Mambo ya Nyakati 2:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Salma baba ya Bethlehemu,+ Harefu baba ya Beth-gaderi.
7 Basi palikuwa na kijana wa Bethlehemu+ katika Yuda wa familia ya Yuda, naye alikuwa Mlawi.+ Alikuwa anakaa hapo kwa muda.