2 wale wanaojitayarisha kushuka kwenda Misri+ na ambao hawakuuliza kutoka kinywani mwangu,+ ili kupata kinga katika ngome ya Farao na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!+
14 mkisema: “Hapana, bali tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambapo hatutaona vita wala hatutaisikia sauti ya baragumu wala kushinda njaa kwa kukosa mkate; na hapo ndipo tutakapokaa”;+