34 Mtasema, ‘Watumishi wako wamekuwa wafugaji sikuzote tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi na pia mababu zetu,’+ ili mpate kuishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu kila mchungaji wa kondoo ni chukizo katika nchi ya Misri.”+
26 Lakini Musa akasema: “Haikubaliki kufanya hivyo, kwa sababu tutamtolea Yehova Mungu wetu dhabihu ya kitu ambacho ni chukizo kwa Wamisri.+ Tuseme tungetoa dhabihu ya kitu ambacho ni chukizo machoni pa Wamisri; je, hawangetupiga kwa mawe?