Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 43:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nao wakamletea chakula chake kando na kile chao kando na cha Wamisri waliokuwa wakila naye kando; kwa maana Wamisri hawangeweza kula chakula pamoja na Waebrania, kwa sababu hilo ni chukizo kwa Wamisri.+

  • Mwanzo 46:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mtasema, ‘Watumishi wako wamekuwa wafugaji sikuzote tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi na pia mababu zetu,’+ ili mpate kuishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu kila mchungaji wa kondoo ni chukizo katika nchi ya Misri.”+

  • Kutoka 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na mifugo yetu pia itaenda pamoja nasi.+ Hakuna hata ukwato utakaoruhusiwa kubaki, kwa sababu ni kutoka kati yao kwamba tutachukua baadhi yao ili kumwabudu Yehova Mungu wetu,+ nasi wenyewe hatujui tutakachotoa katika ibada kwa Yehova mpaka tufike huko.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki