18 Mwishowe mwaka huo ukamalizika, nao wakaanza kumjia mwaka uliofuata na kumwambia: “Hatutamficha bwana wangu lakini pesa na makundi ya wanyama wa kufugwa wameishia kwa bwana wangu.+ Hakuna kinachosalia mbele ya bwana wangu ila miili yetu na mashamba yetu.+