7 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa+ na ufalme kupigana na ufalme,+ kutakuwa na upungufu wa chakula+ na matetemeko ya nchi+ mahali pamoja baada ya pengine.
28 Mmoja kati yao anayeitwa jina Agabo+ akasimama na kuonyesha kupitia roho kwamba njaa kali ilikuwa karibu kuja juu ya dunia nzima inayokaliwa;+ ambayo, kama ilivyo, ilitukia wakati wa Klaudio.