Mwanzo 42:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao wakaanza kusemezana: “Bila shaka tuna hatia kuhusiana na ndugu yetu,+ kwa sababu tuliona nafsi yake ikitaabika alipotuomba kwa bidii tumwonee huruma, lakini sisi hatukusikiliza. Ndiyo sababu taabu hii imetupata.”+ Zaburi 133:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 133 Tazama! Jinsi ilivyo vyema na jinsi inavyopendezaNdugu kukaa pamoja kwa umoja!+
21 Nao wakaanza kusemezana: “Bila shaka tuna hatia kuhusiana na ndugu yetu,+ kwa sababu tuliona nafsi yake ikitaabika alipotuomba kwa bidii tumwonee huruma, lakini sisi hatukusikiliza. Ndiyo sababu taabu hii imetupata.”+