Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo Abramu akamwambia Loti:+ “Tafadhali, usiruhusu ugomvi wowote uendelee kuwa kati yangu na wewe na kati ya wachungaji wangu na wachungaji wako, kwa kuwa sisi ni ndugu.+

  • Mwanzo 45:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi akawaaga ndugu zake, nao wakaenda. Hata hivyo, akawaambia: “Msigombane njiani.”+

  • Yohana 13:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa jambo hili wote watajua kwamba ninyi ni wanafunzi wangu, mkiwa na upendo kati yenu wenyewe.”+

  • Yohana 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ili wote wapate kuwa kitu kimoja,+ kama vile ambavyo wewe, Baba, umo katika muungano pamoja na mimi na mimi nimo katika muungano pamoja na wewe,+ ili wao pia wapate kuwa katika muungano pamoja na sisi,+ ili ulimwengu upate kuamini kwamba ulinituma.+

  • Wakolosai 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini, zaidi ya mambo haya yote, jivikeni upendo,+ kwa maana huo ni kifungo kikamilifu+ cha muungano.

  • Waebrania 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Upendo wenu wa kindugu na uendelee.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki