Kutoka 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu na Ishari na Hebroni na Uzieli.+ Nayo miaka ya maisha ya Kohathi ilikuwa miaka 133. Hesabu 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na za Kohathi zilikuwa familia ya Waamramu na familia ya Waishari na familia ya Wahebroni na familia ya Wauzieli. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wakohathi.+ 1 Mambo ya Nyakati 9:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na baadhi ya wana wa Wakohathi, ndugu zao, walikuwa wakisimamia mkate wa tabaka,+ ili kuutayarisha kila sabato.+
18 Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu na Ishari na Hebroni na Uzieli.+ Nayo miaka ya maisha ya Kohathi ilikuwa miaka 133.
27 Na za Kohathi zilikuwa familia ya Waamramu na familia ya Waishari na familia ya Wahebroni na familia ya Wauzieli. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wakohathi.+
32 Na baadhi ya wana wa Wakohathi, ndugu zao, walikuwa wakisimamia mkate wa tabaka,+ ili kuutayarisha kila sabato.+