Hesabu 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Za Merari zilikuwa familia ya Wamali+ na familia ya Wamushi.+ Hizo ndizo zilizokuwa familia za Merari.+ 1 Mambo ya Nyakati 6:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Nao wakawapa wana wa Merari+ kulingana na familia zao kutoka katika kabila la Rubeni+ na kutoka katika kabila la Gadi+ na kutoka katika kabila la Zabuloni+ kwa kura majiji kumi na mawili.
33 Za Merari zilikuwa familia ya Wamali+ na familia ya Wamushi.+ Hizo ndizo zilizokuwa familia za Merari.+
63 Nao wakawapa wana wa Merari+ kulingana na familia zao kutoka katika kabila la Rubeni+ na kutoka katika kabila la Gadi+ na kutoka katika kabila la Zabuloni+ kwa kura majiji kumi na mawili.