19 Na wewe mwenyewe unaamriwa:+ “Fanyeni hivi: Jichukulieni magari ya kukokotwa+ kutoka nchi ya Misri kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu, mkamchukue baba yenu katika gari moja mje hapa.+
47Basi Yosefu akaenda, akampa Farao habari, na kusema:+ “Baba yangu na ndugu zangu na makundi yao na mifugo yao na vyote walivyo navyo, wamekuja kutoka nchi ya Kanaani, na tazama, wako katika nchi ya Gosheni.”+