15 Na kutoka nafaka ya mashamba yenu na mazao ya mashamba yenu ya mizabibu atachukua sehemu ya kumi,+ naye atawapa maofisa+ wake wa makao ya mfalme na watumishi wake.
7 Wapeni wote haki zao, yeye anayetaka kodi, kodi;+ yeye anayetaka ushuru, ushuru; yeye anayetaka woga, woga+ huo; yeye anayetaka heshima, heshima+ hiyo.