Kumbukumbu la Torati 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akamwambia Asheri:+“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+ Yoshua 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo kura+ ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Asheri+ kulingana na familia zao. 1 Wafalme 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Sulemani alikuwa na wasaidizi kumi na wawili juu ya Israeli yote, nao walimwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja alikuwa na daraka la kuandaa chakula mwezi mmoja katika mwaka.+ 1 Wafalme 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Baana mwana wa Hushai, kule Asheri+ na Bealothi;
24 Naye akamwambia Asheri:+“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+
7 Na Sulemani alikuwa na wasaidizi kumi na wawili juu ya Israeli yote, nao walimwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja alikuwa na daraka la kuandaa chakula mwezi mmoja katika mwaka.+