Mambo ya Walawi 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kila kiumbe kati ya wanyama chenye ukwato uliopasuka na chenye mwanya kwenye ukwato na kinachocheua, hicho ndicho mnachoweza kula.+ Kumbukumbu la Torati 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hii ndiyo aina ya wanyama mnaoweza kula:+ ng’ombe, kondoo na mbuzi,
3 Kila kiumbe kati ya wanyama chenye ukwato uliopasuka na chenye mwanya kwenye ukwato na kinachocheua, hicho ndicho mnachoweza kula.+