Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mungu akaendelea kusema: “Maji na yajawe na nafsi hai+ na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.”+

  • Mwanzo 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova Mungu alikuwa akifanya kutoka katika udongo kila mnyama wa mwituni na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni, naye akaanza kumletea huyo mtu ili aone atawaitaje kila mmoja wao; na jina ambalo huyo mtu aliita kila nafsi hai,+ kila mmoja, hilo likawa jina lake.+

  • Mwanzo 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kati ya viumbe vinavyoruka kulingana na aina zake na wanyama wa kufugwa kulingana na aina zake,+ kati ya wanyama wote wanaotembea katika nchi kulingana na aina zake, wawili wa kila aina wataingia humo pamoja nawe ili kuwahifadhi hai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki