Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova Mungu alikuwa akifanya kutoka katika udongo kila mnyama wa mwituni na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni, naye akaanza kumletea huyo mtu ili aone atawaitaje kila mmoja wao; na jina ambalo huyo mtu aliita kila nafsi hai,+ kila mmoja, hilo likawa jina lake.+

  • Mwanzo 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na pamoja na kila nafsi iliyo hai ambayo iko pamoja nanyi, kati ya ndege, kati ya wanyama na kati ya viumbe vyote vilivyo hai vya dunia ambavyo viko pamoja nanyi, kuanzia vyote vinavyotoka katika safina mpaka kila kiumbe kilicho hai cha dunia.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 mfano wa mnyama yeyote aliye duniani,+ mfano wa ndege yeyote mwenye mabawa ambaye huruka mbinguni,+

  • Ayubu 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Hata hivyo, tafadhali uliza wanyama wa kufugwa, nao watakufundisha;+

      Pia viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, navyo vitakuambia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki