3 Ng’ombe anamjua vema mnunuzi wake, na punda anaijua hori ya bwana wake; Israeli mwenyewe hakujua,+ watu wangu mwenyewe hawakujiendesha kwa uelewaji.”+
20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+