28 Mungu akawabariki+ na Mungu akawaambia: “Zaeni,+ muwe wengi, mjaze dunia na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia.”
32 Hizi ndizo zilizokuwa familia za wana wa Noa kulingana na ukoo wa familia zao, kulingana na mataifa yao, na kutokana nao mataifa yakaenea kotekote duniani baada ya gharika.+