Yeremia 50:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Neno ambalo Yehova alisema kuhusu Babiloni,+ kuhusu nchi ya Wakaldayo,+ kupitia Yeremia nabii: 1 Petro 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwanamke aliye katika Babiloni,+ mchaguliwa kama ninyi, anawatumia ninyi salamu zake, na vilevile Marko+ mwanangu.
13 Mwanamke aliye katika Babiloni,+ mchaguliwa kama ninyi, anawatumia ninyi salamu zake, na vilevile Marko+ mwanangu.