Zaburi 68:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Umkemee mnyama-mwitu wa matete,+ kusanyiko la ng’ombe-dume,+Na ndama za vikundi vya watu, kila mmoja akikanyaga-kanyaga vipande vya fedha.+Ametawanya vikundi vya watu vinavyopenda mapigano.+ Luka 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+
30 Umkemee mnyama-mwitu wa matete,+ kusanyiko la ng’ombe-dume,+Na ndama za vikundi vya watu, kila mmoja akikanyaga-kanyaga vipande vya fedha.+Ametawanya vikundi vya watu vinavyopenda mapigano.+
51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+