25 Naye Eberi alizaa wana wawili. Jina la mmoja lilikuwa Pelegi,+ kwa sababu katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika;+ na jina la ndugu yake lilikuwa Yoktani.+
19 Na Eberi alizaa wana wawili. Jina la mmoja lilikuwa ni Pelegi,+ kwa sababu katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika; na jina la ndugu yake lilikuwa ni Yoktani.