Mwanzo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ikawa mara alipokaribia kuingia Misri, akamwambia Sarai mke wake: “Tafadhali, tazama! najua vema kuwa wewe ni mwanamke mwenye sura nzuri.+ Mwanzo 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Mungu akaendelea kumwambia Abrahamu: “Kwa habari ya Sarai mke wako, usimwite jina lake Sarai, kwa sababu Sara ndilo jina lake.+ Mwanzo 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na, tena, yeye kwa kweli ni dada yangu, ni binti ya baba yangu, ila tu si binti ya mama yangu; naye akawa mke wangu.+ 1 Petro 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kama Sara alivyokuwa akimtii Abrahamu, akimwita “bwana.”+ Nanyi mmekuwa watoto wake, mradi tu mnaendelea kutenda mema na kutokuwa na woga kwa sababu ya kitisho chochote.+
11 Ikawa mara alipokaribia kuingia Misri, akamwambia Sarai mke wake: “Tafadhali, tazama! najua vema kuwa wewe ni mwanamke mwenye sura nzuri.+
15 Naye Mungu akaendelea kumwambia Abrahamu: “Kwa habari ya Sarai mke wako, usimwite jina lake Sarai, kwa sababu Sara ndilo jina lake.+
12 Na, tena, yeye kwa kweli ni dada yangu, ni binti ya baba yangu, ila tu si binti ya mama yangu; naye akawa mke wangu.+
6 kama Sara alivyokuwa akimtii Abrahamu, akimwita “bwana.”+ Nanyi mmekuwa watoto wake, mradi tu mnaendelea kutenda mema na kutokuwa na woga kwa sababu ya kitisho chochote.+