Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ikawa mara alipokaribia kuingia Misri, akamwambia Sarai mke wake: “Tafadhali, tazama! najua vema kuwa wewe ni mwanamke mwenye sura nzuri.+

  • Mwanzo 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Mungu akaendelea kumwambia Abrahamu: “Kwa habari ya Sarai mke wako, usimwite jina lake Sarai, kwa sababu Sara ndilo jina lake.+

  • Mwanzo 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na, tena, yeye kwa kweli ni dada yangu, ni binti ya baba yangu, ila tu si binti ya mama yangu; naye akawa mke wangu.+

  • 1 Petro 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kama Sara alivyokuwa akimtii Abrahamu, akimwita “bwana.”+ Nanyi mmekuwa watoto wake, mradi tu mnaendelea kutenda mema na kutokuwa na woga kwa sababu ya kitisho chochote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki