12 Kwa hiyo Sara akaanza kucheka ndani yake mwenyewe,+ akisema: “Baada ya mimi kuzeeka, kweli mimi nitapata raha, tena bwana wangu akiwa mzee vilevile?”+
33 Hata hivyo, pia, kila mtu mmoja-mmoja kati yenu na ampende hivyo mke wake+ kama vile anavyojipenda mwenyewe; kwa upande mwingine, mke anapaswa kumheshimu+ sana mume wake.