27 Sasa alipokuwa akisema hayo mwanamke fulani katika umati akainua sauti yake akamwambia: “Lenye furaha ni tumbo la uzazi+ lililokuchukua wewe na maziwa uliyonyonya!”
11 Kwa imani Sara+ mwenyewe pia alipokea nguvu ili kuchukua mimba ya uzao, hata alipokuwa amepita mpaka wa umri,+ kwa kuwa alimwona kuwa mwaminifu yeye aliyekuwa ameahidi.+
6 kama Sara alivyokuwa akimtii Abrahamu, akimwita “bwana.”+ Nanyi mmekuwa watoto wake, mradi tu mnaendelea kutenda mema na kutokuwa na woga kwa sababu ya kitisho chochote.+