Waamuzi 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako,+ unifanyie ishara kwamba wewe ndiwe unayesema nami.+ Luka 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Zekaria akamwambia malaika: “Nitakuwaje na uhakika juu ya jambo hili? Kwa maana nina umri mkubwa+ na mke wangu amesonga sana katika miaka.”
17 Ndipo akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako,+ unifanyie ishara kwamba wewe ndiwe unayesema nami.+
18 Naye Zekaria akamwambia malaika: “Nitakuwaje na uhakika juu ya jambo hili? Kwa maana nina umri mkubwa+ na mke wangu amesonga sana katika miaka.”