Waamuzi 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi ikawa kwamba, mwali wa moto ulipokuwa ukipaa kutoka katika madhabahu kuelekea mbinguni, malaika wa Yehova akapaa katika ule mwali wa madhabahu huku Manoa na mke wake wakitazama.+ Wakaanguka kifudifudi mara moja.+ Mathayo 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Waliposikia hilo wanafunzi wakaanguka kifudifudi na kuogopa sana.+
20 Basi ikawa kwamba, mwali wa moto ulipokuwa ukipaa kutoka katika madhabahu kuelekea mbinguni, malaika wa Yehova akapaa katika ule mwali wa madhabahu huku Manoa na mke wake wakitazama.+ Wakaanguka kifudifudi mara moja.+