Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tena, Mungu wa kweli akatuma malaika katika Yerusalemu ili kuliangamiza;+ na mara tu alipoanza kuleta maangamizi, Yehova akaona hilo, akaanza kujuta kuhusu msiba ule;+ na kwa hiyo akamwambia yule malaika aliyekuwa akiangamiza: “Imetosha!+ Sasa angusha mkono wako.” Na yule malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu na uwanja wa kupuria wa Ornani+ Myebusi.+

  • Zaburi 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+

      Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+

  • Mathayo 13:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Mwana wa binadamu atatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake vitu vyote ambavyo husababisha kukwazika+ na watu wanaoasi sheria,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki