Mwanzo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini, tazama! neno la Yehova likamjia kwa maneno haya: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, lakini yule atakayetoka katika viuno vyako mwenyewe ndiye atakayekuwa mrithi wako.”+ Yohana 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Zaidi ya hayo, mtumwa hakai nyumbani milele; mwana hukaa milele.+ Wagalatia 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hata hivyo, Andiko linasema nini? “Mfukuze kijakazi na mwana wake, kwa maana mwana wa kijakazi hatakuwa mrithi hata kidogo pamoja na mwana wa mwanamke huru.”+
4 Lakini, tazama! neno la Yehova likamjia kwa maneno haya: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, lakini yule atakayetoka katika viuno vyako mwenyewe ndiye atakayekuwa mrithi wako.”+
30 Hata hivyo, Andiko linasema nini? “Mfukuze kijakazi na mwana wake, kwa maana mwana wa kijakazi hatakuwa mrithi hata kidogo pamoja na mwana wa mwanamke huru.”+