Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo akaanza kumwambia Abrahamu: “Mfukuze kijakazi huyu na mwana wake, kwa maana mwana wa kijakazi huyu hatakuwa mrithi pamoja na mwanangu, Isaka!”+

  • Mwanzo 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini wana wa masuria ambao Abrahamu alikuwa nao Abrahamu aliwapa zawadi.+ Kisha alipokuwa bado hai, akawaagiza waende kutoka kwa Isaka mwana wake,+ upande wa mashariki, kwenye nchi ya Mashariki.+

  • Wagalatia 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hata hivyo, Andiko linasema nini? “Mfukuze kijakazi na mwana wake, kwa maana mwana wa kijakazi hatakuwa mrithi hata kidogo pamoja na mwana wa mwanamke huru.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki