10 Kwa hiyo akaanza kumwambia Abrahamu: “Mfukuze kijakazi huyu na mwana wake, kwa maana mwana wa kijakazi huyu hatakuwa mrithi pamoja na mwanangu, Isaka!”+
6 lakini wana wa masuria ambao Abrahamu alikuwa nao Abrahamu aliwapa zawadi.+ Kisha alipokuwa bado hai, akawaagiza waende kutoka kwa Isaka mwana wake,+ upande wa mashariki, kwenye nchi ya Mashariki.+
30 Hata hivyo, Andiko linasema nini? “Mfukuze kijakazi na mwana wake, kwa maana mwana wa kijakazi hatakuwa mrithi hata kidogo pamoja na mwana wa mwanamke huru.”+