28 Wakajibu, wakasema: “Bila shaka sisi tumeona kwamba Yehova amekuwa pamoja nawe.+ Hivyo tukasema, ‘Tafadhali, kiapo cha wajibu na kiwepo kati yetu,+ kati yetu na wewe, nasi na tufanye agano pamoja nawe,+
15 Akina ndugu, nasema kwa njia ya mfano wa mwanadamu: Agano lililohalalishwa, ingawa ni la mwanadamu, hakuna yeyote anayelifuta au kuongeza jambo juu yake.+