Mwanzo 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi+ Mwanzo 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hivyo lile shamba na lile pango lililokuwamo likathibitishiwa Abrahamu kuwa mahali pake pa kuzikia mikononi mwa wana wa Hethi.+
20 Hivyo lile shamba na lile pango lililokuwamo likathibitishiwa Abrahamu kuwa mahali pake pa kuzikia mikononi mwa wana wa Hethi.+