Yeremia 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake, na bibi-arusi mavazi yake ya kifuani? Lakini watu wangu mwenyewe—wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.+ Ezekieli 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikakupamba kwa mapambo na kuweka vikuku+ juu ya mikono yako na mkufu+ shingoni mwako.
32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake, na bibi-arusi mavazi yake ya kifuani? Lakini watu wangu mwenyewe—wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.+