29 kwamba wewe hutafanya lolote baya kutuelekea kama vile ambavyo sisi hatukukugusa wewe na kama vile ambavyo sisi tumetenda wema tu kukuelekea kwa kuwa tulikuagiza uende kwa amani.+ Wewe sasa ni mbarikiwa wa Yehova.’”+
10 Basi Boazi akasema: “Yehova na akubariki,+ binti yangu. Umeonyesha fadhili zako zenye upendo+ kwa njia bora zaidi mara hii ya mwisho kuliko mara ya kwanza.+ Hukuwafuata vijana, wawe ni wa hali ya chini au matajiri.