Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 26:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kwamba wewe hutafanya lolote baya kutuelekea kama vile ambavyo sisi hatukukugusa wewe na kama vile ambavyo sisi tumetenda wema tu kukuelekea kwa kuwa tulikuagiza uende kwa amani.+ Wewe sasa ni mbarikiwa wa Yehova.’”+

  • Ruthu 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Boazi akasema: “Yehova na akubariki,+ binti yangu. Umeonyesha fadhili zako zenye upendo+ kwa njia bora zaidi mara hii ya mwisho kuliko mara ya kwanza.+ Hukuwafuata vijana, wawe ni wa hali ya chini au matajiri.

  • Zaburi 115:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ninyi ndio mliobarikiwa na Yehova,+

      Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki