16 Nawe utamwambia, ‘Yehova Mungu wa Waebrania amenituma kwako,+ na kusema: “Waruhusu watu wangu waende zao wakanitumikie nyikani,”+ lakini, tazama, wewe hujatii mpaka sasa.
26 Na mifugo yetu pia itaenda pamoja nasi.+ Hakuna hata ukwato utakaoruhusiwa kubaki, kwa sababu ni kutoka kati yao kwamba tutachukua baadhi yao ili kumwabudu Yehova Mungu wetu,+ nasi wenyewe hatujui tutakachotoa katika ibada kwa Yehova mpaka tufike huko.”+