Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Noa akamjengea Yehova madhabahu+ na kuchukua baadhi ya wanyama wote walio safi+ na baadhi ya viumbe vyote vinavyoruka ambavyo ni safi,+ akatoa matoleo ya kuteketezwa juu ya ile madhabahu.+

  • Kutoka 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akajibu: “Kwa sababu nitakuwa pamoja nawe,+ nayo hii ndiyo ishara kwako ya kwamba mimi ndiye niliyekutuma:+ Baada ya kuwatoa watu hao Misri, ninyi mtamtumikia Mungu wa kweli kwenye mlima huu.”+

  • Kutoka 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Nao hakika wataisikiliza sauti yako,+ nawe utakuja, wewe pamoja na wanaume wazee wa Israeli, kwa Mfalme wa Misri, nanyi mtamwambia, ‘Yehova Mungu wa Waebrania+ amewasiliana nasi,+ na sasa tunataka kwenda, tafadhali, safari ya siku tatu nyikani, nasi tunataka kumtolea dhabihu Yehova Mungu wetu.’+

  • Kutoka 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hata hivyo, wakaendelea kusema: “Mungu wa Waebrania amewasiliana nasi.+ Tunataka kwenda, tafadhali, safari ya siku tatu nyikani na kumtolea dhabihu Yehova Mungu wetu;+ ikiwa sivyo huenda akatupiga kwa tauni au kwa upanga.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki