18 “Hakika wataisikiliza sauti yako,+ nawe utaenda, wewe pamoja na wazee wa Israeli, kwa mfalme wa Misri, nanyi mnapaswa kumwambia: ‘Yehova Mungu wa Waebrania+ amewasiliana nasi. Kwa hiyo, tafadhali, turuhusu tusafiri kwa siku tatu nyikani ili tumtolee Yehova Mungu wetu dhabihu.’+