-
Kutoka 10:25, 26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Lakini Musa akasema: “Wewe mwenyewe tupatie dhabihu na matoleo ya kuteketezwa, nasi tutazitoa kwa Yehova Mungu wetu.+ 26 Tutaenda pia na mifugo yetu. Hatutamwacha mnyama yeyote,* kwa sababu tutawatoa dhabihu baadhi ya wanyama hao tunapomwabudu Yehova Mungu wetu, na hatujui ni mnyama gani tutakayemtolea Yehova kuwa dhabihu mpaka tutakapofika huko.”
-