13 Baada ya hayo mtu aliyekuwa ameponyoka akaja na kumwambia Abramu Mwebrania.+ Wakati huo alikuwa akikaa kati ya miti mikubwa ya Mamre yule Mwamori,+ ndugu ya Eshkoli na ndugu ya Aneri;+ nao walikuwa washirika wa Abramu.
15 Kwa maana kwa kweli nilitekwa nyara kutoka katika nchi ya Waebrania;+ na hapa pia sijafanya jambo lolote kamwe hata wanitie katika tundu hili la gereza.”+
3 Basi Musa na Haruni wakaingia ndani kwa Farao na kumwambia: “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Waebrania amesema, ‘Utaendelea kukataa kujitiisha kwangu mpaka wakati gani?+ Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.